Lala Kent anasema Tupac yuko hai ndani ya mwili wake.
"Naimani kuwa Tupac alivyokufa alichukua mwili wangu na kuendelea kuishi duniani , najua mnanicheka ila mimi naongea kweli , hivi karibuni nimejichora tattoo ya Thug Life kama ya Tupac kwenye mguu wangu wa kulia "amesema Lala Kente.
No comments:
Post a Comment