Rihanna ambaye ni staa wa pop kutoka ugaibuni anafikiria kuwa na mtoto wake wa kwanza na mpenzi wakeni Hassan Jameel ambaye ni Billionea.
Hollywood life wanataarifa kuwa Rihanna na Hassan wameweka siri mahusiano yao ili kuwa na uhakika zaidi kuhusu maisha yao ya baadaye kama Baba na Mama.
Staa Rihanna alishawahi kuwa kwenye mahusiano na baadhi ya mastaa Chris Brown, Travis Scott na leonardo dicaprio pamoja na Drake.


No comments:
Post a Comment