share habari na marafiki zako.
Viola Davis naLupitaNyong’o wametajwa kucheza kwenye filamu mmoja ya kampuni ya TriStar Pictures iliyopewa jina La The woman king.
Viola Davis naLupitaNyong’o wametajwa kucheza kwenye filamu mmoja ya kampuni ya TriStar Pictures iliyopewa jina La The woman king.
KwamujibuwaTheHollywoodReporter filamu hiyo ya The woman king itahusu mjii mkubwa uliowahi kuwepo Afrika wa Dahomey katika karne ya 18th na 19th.
Viola ataigiza kama jenerali jeshini na aliyepigana vita na mtoto wake wa kike Nyong’o dhidi ya wafaransa na makabila mengine kwenye eneo hilo.

No comments:
Post a Comment