Singida United imeshindwa kuindoka na point tatu mbele ya Azam baada ya kukubali kufungwa goli 1-0 kwenye mchezo wa ligi uliochezwa uwanja wa Azam Complex usiku wa jana Murch 3,2018.
Azam imefikisha pointi 38 kwenye msimamo wa ligi imiwa na mchezo mmoja mkononi huku Singida United ikiwa na pointi 34.

No comments:
Post a Comment