Rick Ross ,Hatimaye ameruhusiwa baada ya kuwa chini ya uangalizi wa madaktari kwa siku 4 ambapo Siku ya Jumamosi iliyopita alipoteza fahamu na kushindwa kupumua .
Taarifa zinadai kuwa Rick Ross amesha toka hospitali na kwenda nyumbani baada ya hali yake kuwa sawa .
No comments:
Post a Comment