Chama cha soka England FA kimetangaza kumuadhibu kocha wa Man City Pep Guardiola ambaye alifanya kosa la kuvaa ribbon ya njano katika mchezo wa EPL. Ambapo FA ilimpa nafasi ya kujitetea na kitendo hicho cha kuvaa hiyo ribbon ya njano.
Kutokana na kitendo chake cha kupenda kuvaa ribbon ya njano mara kwa mara katika michezo ya Ligi Kuu England,nembo hiyo ya njano inahusishwa na masuala ya kisiasa ya nchini Hispania.
FA imetangaza kumpa onyo kali na kumtoza faini ya pound 20,000 kwa kosa hilo.


No comments:
Post a Comment