Leo March 3,2018 ligi ya VPL imeendelea kwa michezo kazaa ni pamoja na mchezo wa Prisons fc dhidi ya Mbao Fc kwenye uwanja wa Sokoine jijini Mbeya.
Ambapo mchezo huo umeahirishwa na waamuzi dk ya 50 kutokana na mvua nyingi inayo endelea kunyesha mkoani Mbeya.
Pande zote mbili zimekubaliana kuwachezo umaliziwe siku ya kesho jumapili march 4 ,2018 saa nne.Prisons wakiwa wanaongoza goli moja lililo fungwa na Mohammed Rashid dk ya 11.

No comments:
Post a Comment