share habari na marafiki zako
Club ya Chelsea wakiwa ugenini usiku wa wa jana wamejikuta wakikubali kufungwa magoli 3-0 dhidiya Fc Barcelona.
Fc Barcelona wamefuzu kwa jumla ya magoli 4-1, ambapo magoli hayo ya Barcelona ya yalifungwa na Lionel Messi aliyefunga mawili dakika ya 3 baada assist ya Suarez dakika ya 63 na Osman Dembele dakika ya 20 yabmchezo huo.
FC Barcelona inaungana na timu ambazo tayari zilikuwa zimefuzu robo fainali Man City Juventus, AS Roma,Sevilla, Real Madrid, FC Bayern Munich,Liverpool.



No comments:
Post a Comment