Davido hajatoa album toka alivo toa Omo Baba Olowo ya mwaka 2012 .
Davido amekuwa akisubiriwa kutoa album kwa muda wa miaka sita sasa, hivi karibuni Obo alitangaza ziara yake ya 30 billion Africa tour iliyoanzaTarehe 3 march maka huu 2018 nchini Rwanda.


No comments:
Post a Comment