• Latest News

    Wednesday, 14 March 2018

    GIGI HADID ATHIBITISHA KUACHANA NA MPENZI WAKE.

       Staa wa muziki kutokea Nchini Marekani Zayn Malik  na GigiHadid ambaye ni mwanamitindo. 
    Kupitia Ukurusa wa  twitter  yake Gig Hadid amethibitisha kuachana naZayn Malik ingawa mashabiki hawajafurahishwa kuachana kwao Kwasababu mashabiki walikuwa wakifurahia uhusiano wao.

    No comments:

    Post a Comment