• Latest News

    Monday, 14 May 2018

    PICHA : JINSI ILIVO KUWA HARUSI YA MUIGIZAJI KUTOKA GHANA.



      Muigizaji John Dumelo Kutoka Ghana ambaye amejibebea umaarufu kupitia movies nyingi alizofanya na waigizaji kutokea Nigeria amefanikiwa kufunga pingu za maisha na mke wake  May 12,2018 akiwa Ghana.
    Harusi ya staa huyo imeudhuriwa na mastaa mbalimbali akiwemo Jackie AppiahNadia Buari, Yvonne Nelson,Ramsey Noah na wenige.







    No comments:

    Post a Comment