• Latest News

    Saturday, 10 March 2018

    BREAKING>>MTANGAZAJI WA EATV AMEPATA AJALI.


     Mtangazaji wa kipindi cha 5Selekt  EATV Tbway  amepata ajali akiwa na gari yake usiku huu maeneo ya Makumbusho Kijitonyama.
     Tbway amepata ajali na gari yake kuharibika,DJ Choka ambaye alifanikiwa kufika eneo la tukio, amethibitisha kuwa mtangazaji huyo yupo salama na anaendelea vizuri.

    No comments:

    Post a Comment