Mshambuliaja wa klabu ya Tottenham Hotspurs Harry Kane usiku wa jana march 1,2018 amefanikiwa kutwaa tuzo ya mchezaji bora wa mwaka wa London Football.
Kane amewashindana Cesar Azpilicueta wa Chelsea, Heung-Min Son wa Tottenham Hotspur, Christian Eriksen wa Tottenham Hotspur na Wilfried Zaha wa Crystal Palace.
Ryan Sessegnon naye ameshinda tuzo ya mchezaji bora mdogo wa mwaka.



No comments:
Post a Comment