Baada ya club ya Arsenal kufungwa magoli 3 - 0 na Manchester City katika mchezo wa ligi kuu nchini Uingereza wakiwa nyumbani katika uwanja wa Emirates na hii si mara ya kwanza kwani wiki iliyopita walikubali kipigo kama hicho toka kwa haohao Manchester City.
Arsene Wenger amesema kuwa wachezaji wake walikosa kujiamini na ndo sababu ya kupoteza mchezo huo na kuwataka kuwa na umoja na kufikiria mchezo ujao.

No comments:
Post a Comment