• Latest News

    Friday, 2 March 2018

    DIAMOND PLATNUMZ KAPATA NAFASI YA KUIMBA WIMBO KWENYE MICHUANO YA KOMBE LA DUNIA NCHINI URUSSI MWAKA HUU .

    Kuelekea kuanza kwa michuano ya kombe la dunia 2018 kampuni ya Coca Cola ambayo ni mmoja ya wadhamini wa wakubwa wa michuano hiyo imeandaa wimbo maalum kwa ajili ya kusherehesha michuano hiyo.
    Wasanii husika ambao wamepewa nafasi ya kutengeneza wimbo huo ni mmarekani Jason Derulo ambaye atashirikiana na Diamond Platnumz, Cassper Nyovest, Sami Dani kutoka Ethiopia, Ykee Benda kutoka Uganda na Lizha James kutoka Msumbiji.
    Wimbo huo umepewa jina la Colors na kwa mujibu wa Diamond Platnumz tayari wimbo huo umekamilika na utatoka march 16,2018.

    No comments:

    Post a Comment