MchezajikutokaDemokrasiayaCongo,Cendric Bakambu amekamilisha usajiri wake kwenye klabu ya Beljing Guonya China ,na kuwa mchezaji ghali kutoka barani Afrika kwa sasa.
Klabu hiyo ya ligi kuu ya soka nchini China , haijaweza kuweka hadharani dau la kiasi cha pesa alizo nunuliwa mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 26.
Lakini imesema kanunuliwa zaidi ya dola mil.77 za kimalekani.

No comments:
Post a Comment