• Latest News

    Tuesday, 27 February 2018

    Usain Bolt amepata nafasi kucheza soka uwanja wa Manchester United.

    Bingwa wa Olimpiki Duniani Usain Bolt amepata  nafasi ya kuchezea soka katika uwanja wa Manchester United wa Old Trafford.
    Usain Bolt  atakuwa nahodha wa timu ya pamoja ya watu maarufu na wanasoka ambayo itashiriki mechi ya Soccer Aid ambayo itaandaliwa na UNICEF  mwezi June 10 ,2018.
    Usain Bolt  “Ni ndoto yangu kufanikiwa kama mchezaji wa soka la kulipwa,kucheza dhidi ya baadhi ya wachezaji nyota, hilo litakuwa jambo la kufurahisha sana"

    No comments:

    Post a Comment