• Latest News

    Sunday, 25 February 2018

    Man City imefanikiwa kutwa taji la kwanza 2017/2018 .

    Club ya Man City inayofundishwa na kocha  Pep Guardiola usiku wa February 25 2018 ilifanikiwa kutwaa taji lake la kwanza msimu wa 2017/2018 dhidi ya Arsenal katika uwanja wa Wembley   jijini London , mchezo huo ulikuwa mchezo wa fainali ya Carabao Cup.
    Guardiola amefanikiwa kuiongoza Man City dhidi ya Arsenal  kupata ushindi wa magoli 3 kwa 0, magoli ya Man City yalifungwa na Sergio Aguero dakika ya 18 Vincent Kompany dakika ya 58 na goli la mwisho likafungwa na David Silva dakika ya 65.
    Kutwaa taji hilo kwa Man City kunawafanya wafikishe jumla ya mataji matano ya Kombe la Ligi.

    No comments:

    Post a Comment