Clabu ya simba sc leo march 17,2018 walikuwa ugenini dhidi ya Al Masry ya Misri ,baada ya kutoa sare ya 2-2 uwanja wataifa siku kazaa zilizo pita , na leo kulazimisha sare tena 0-0 ugenini. kutokana na matokeo ya leo Simba Sc wametolewa kwenye michuano ya Shirikisho barani Afrika.
No comments:
Post a Comment